Alhamisi, 12 Januari 2017

Tanzania yapangwa kundi jepesi Africon

Timu ya Taifa Tanzania imepangwa kundi L katika kufuzu michuano ya Africon 2019 huko Cameron, Tanzania imepangwa pamoja na timu ya Taifa Uganda ambao ni majirani zetu pamoja na Cape Verde visiwa hivi bila kuwasahau Lesotho

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni